Kikosi cha timu ya taifa ya Ureno kilisafiri Jumamosi ya September 5 kuelekea Albania kucheza mechi ya kuwania tiketi ya kucheza michuano ya Euro 2016. Mchezo utapigwa Jumatatu ya September 7, muda mchache kabla ya kuanza safari ya kuelekea Albania ambapo watafikia katika mji mkuu wa nchi hiyo Tirana.

2C027CE700000578-0-image-a-14_1441496071768
Mshambuliaji wa klabu ya Real Madrid Cristiano Ronaldo pamoja na winga wa klabu ya BesiktasRicardo Quaresma waliingia katika chumba cha rubani na kupiga picha na video, ambayo muda mchache baadae ilianza kuenea katika mitandao ya kijamii, hii ilikuwa kabla ya ndege kuanza safari ya kuelekea Albania.
2C01BF7B00000578-0-image-m-21_1441496809029

Post a Comment