![](http://i1.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/09/IMG_8318-0.jpg?resize=660%2C400)
![](http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/09/IMG_8318.jpg?w=620)
Mchezo huo uliopigwa katika jiji la Liverpool ndani ya uwanja Goodison Park umemalizika kwa Chelsea kuambulia kipigo kingine kwa kufungwa 3-1.
![](http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/09/IMG_8319.jpg?w=620)
Magoli matatu ya mshambuliaji Naismith yametosha kuipa Everton ushindi mzito dhidi ya vijana wa Jose Mourinho.
![](http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/09/IMG_8320.jpg?w=620)
Naismith alianza kufunga katika dakika ya 17, dakika 5 baadae akaongeza la pili kabla ya Matic hajaifungia Chelsea goli la kufutia machozi.
Dakika 8 kabla ya mchezo kumalizika Naismith akashindilia msumari wa mwisho na kuipa ushindi wa 3-1 Everton.
Post a Comment