Mshambuliaji wa kimataifa wa Ufaransa anayekipiga katika klabu ya Manchester United ya Uingereza Anthony Martial amepigwa picha na mapaparazi akishuka katika teksi akiwa pamoja na mkewe Samantha huku amembeba mtoto wake mdogo.

Manchester United new signing Anthony Martial and partner Samantha arriving back to their hotel in a ABACUS taxi. The multi million pound signing is left holding the baby as Samantha pays the fare for the journey back to the Lowry Hotel. ***EXCLUSIVE ALL ROUND*** ***NO BYLINE***
Anthony Martial wa Man United huu ni kama muendelezo wa maisha yake ya furaha katika jiji la Manchester na amekuwa akionekana kutoka na mkewe kila mahali, safari hii ameshuka katika teksi akiwa kambeba mtoto wake mikononi huku mkewe Samantha akiwa anamlipa dereva teksi.
Manchester United new signing Anthony Martial and partner Samantha arriving back to their hotel in a ABACUS taxi. The multi million pound signing is left holding the baby as Samantha pays the fare for the journey back to the Lowry Hotel. ***EXCLUSIVE ALL ROUND*** ***NO BYLINE***
Staa huyo wa Man United ambaye amesajiliwa na Man United kwa ada ya uhamisho wa pound milioni 36 akitokea klabu ya Monaco ya Ufaransa, bado hajapewa nyumba ya kuishi na anaishi katika hoteli ya Lowry hivyo alipigwa picha hizo akiwa anaingia hotelini.
PAY-Anthony-Martial-and-wife-Samantha-arrive-back-to-hotel-with-baby-daughter
PAY-Anthony-Martial-and-wife-Samantha-arrive-back-to-hotel-with-baby-daughter (1)
PAY-Anthony-Martial-and-wife-Samantha-arrive-back-to-hotel-with-baby-daughter (3)
Licha ya kuwa Anthony Martial ni mgeni katika Ligi Kuu Uingereza, kocha wa klabu ya Manchester United Louis van Gaal aliwahi kumtetea kwa mashabiki wasitegemee makubwa kutoka kwake, kwani bado mapema anahitaji muda wa kuzoea Ligi, good news ni kuwa mechi yake ya kwanza Man United alifunga goli moja dhidi ya Liverpool katika ushindi wa 3-1.

Post a Comment