Mwenyekiti wa NEC, Jaji Damian Lubuva alisema kuwa Tume imelazimika kuahirisha uchaguzi huo kwa kuwa sheri ya Uchaguzi inaelekeza hivyo pale inapotokea mgombea akifariki kabla ya uchaguzi.
![Mgombea Ubunge, Lushoto Tanga](http://i0.wp.com/dar24.com/wp-content/uploads/2015/09/Mgombea-Ubunge-Lushoto-Tanga.jpg?resize=580%2C435)
Marehemu Mohamed Mtoi (36) alifariki kwa ajali ya gari wiki iliyopita. Alifariki baada ya gari alilokuwa amepanda akitokea kwenye kampeni kuacha njia na kupinduka.
Post a Comment