List ya Mastaa wa HipHop wenye Mkwanja Mrefu Zaidi 2015

Jarida la Marekani limetoa listi ya Mastaa wa HipHop wanaovuta  mkwanja mrefu zaidi, orodha ya mwaka 2015 ambapo kama kawaida Mtu mzima ean John Combs a/k/a P Diddy anaendelea kuwaburuza wenzake. Rapa Drake amepanda hadi nafasi ya tatu huku female rapa akitinga kwenye 10 ya listi hiyo.
List ya Mastaa wa HipHop wenye Mkwanja Mrefu.
  1. Diddy $60 million
  2. Jay Z: $56 million
  3. Drake: $39.5 million
  4. Dr. Dre: $33 million
  5. Pharrell: $32 million
  6. Eminem: $31 million
  7. Kanye West: $22 million
  8. Wiz Khalifa: $21.5 million
  9. Nicki Minaj: $21 million
  10. Birdman: $18 million
  11. Pitbull: $17 million
  12. Lil Wayne: $15 million
  13. Kendrick Lamar: $12 million
  14. J. Cole: $11 million
  15. Snoop Dogg: $10 million
  16. Rick Ross: $9 million
  17. Tech N9ne: $8.5 million
  18. Ludacris: $8 million
  19. T.I.: $6 million

Post a Comment