Timu ya taifa ya Tanzania na Nigeria September 5 zimekutana kucheza mechi ya kuwania tiketi ya kufuzu kucheza AFCON 2017, ikiwa ni zaidi ya miaka 20 toka zikutane katika mechi za mashindano. Nigeria inayonolewa na kocha mzawa Sunday Oliseh ndio imecheza mechi ya kwanza toka ianze kufundishwa na kocha huyo.

DSC_8510
Kwa upande wa Taifa Stars ambayo haina point hata moja katika kundi lake baada ya kufungwa mchezo wa kwanza na timu ya taifa ya Misri kwa jumla ya goli 3-0, imeshuka uwanjani kuwania point 3 ili iweze kukufua matumaini ya kupata tiketi ya kucheza AFCON 2017.
DSC_8451
Mechi iliyochezwa uwanja wa Taifa Dar Es Salaam imemalizika kwa timu zote kutoka sare ya bila kufunga, japo Taifa Stars kupitia kwa Mrisho Ngassa na Thomas Ulimwengu ilipoteza nafasi mbili za wazi.
Hizi ni picha za mechi hiyo mtu wangu.
DSC_8453
DSC_8464
DSC_8474
DSC_8479
DSC_8504
DSC_8506
DSC_8508
DSC_8515
DSC_8520
DSC_8527
DSC_8546
DSC_8557
DSC_8561
DSC_8564
DSC_8574
DSC_8582
DSC_8598
DSC_8617
DSC_8653

Post a Comment