momoKocha wa Chelsea mwenye miaka 52 ametokelezea kwenye red carpet na mwanae wa kike Matilde mwenye miaka 18 wakiwa kwenye sherehe za utoaji wa tuzo za jarida la GQ.
 
Kwenye tukio hilo Mourihno ni moja kati ya majina makubwa yaliyofika, wengine ni Lewis Hamilton, Stuart Broad na zaidi. Kwenye utoaji wa tuzo Jose alishinda kwenye kipengele cha Editor’s Choice Award na alivyoshinda alisema, “Siku zote huwa nashinda tuzo na hiyo ni kwasababu huwa anashinda mechi za football”.
Lewis Hamilton alishinda kwa mara ya pili mfulizo GQ Sports Man of The Year
momo2
2C156BE200000578-0-image-a-16_1441738514413

Post a Comment