
Kwenye tukio hilo Mourihno ni
moja kati ya majina makubwa yaliyofika, wengine ni Lewis Hamilton,
Stuart Broad na zaidi. Kwenye utoaji wa tuzo Jose alishinda kwenye
kipengele cha Editor’s Choice Award na alivyoshinda alisema, “Siku zote
huwa nashinda tuzo na hiyo ni kwasababu huwa anashinda mechi za
football”.
Lewis Hamilton alishinda kwa mara ya pili mfulizo GQ Sports Man of The Year


Post a Comment