Mwenyekiti
wa Chama Cha Wananchi –CUF, Profesa IBRAHIM LIPUMBA amejiuzulu wadhifa
wa uenyekiti wa CUF. Katika mkutano wake na waandishi wa habari jijini
DSM, LIPUMBA

Mwenyekiti wa Chama Cha Wananchi –CUF, Profesa IBRAHIM LIPUMBA amejiuzulu wadhifa wa uenyekiti wa CUF.
Katika mkutano wake na waandishi wa habari jijini DSM, LIPUMBA amesema amejiuzulu wadhifa huo alioutumikia kwa miaka KUMI kwa utashi wake binafsi na si kwa kulazimishwa.
Siku moja baada ya kuahirishwa kwa mkutano wa Mwenyekiti wa Chama Cha Wananchi – CUF, Profesa IBRAHIM LIPUMBA na waandishi wa habari, Mwenyekiti huyo wa CUF amekutana na wanahabari jijini DSM na kuweka bayana msimamo wake wa kuheshimu maamuzi ya Prof.LIPUMBA
Huko ZANZIBAR, Kaimu Mkurugenzi wa Habari uenezi na mawasiliano ISMAIL JUSSA LADU amesema chama hicho kinaheshimu maamuzi ya Profesa LIPUMBA.
Hata hivyo JUSSA amesema hakuna mgogoro kati ya Viongozi wa chama hicho
Katika mkutano wake na waandishi wa habari jijini DSM, LIPUMBA amesema amejiuzulu wadhifa huo alioutumikia kwa miaka KUMI kwa utashi wake binafsi na si kwa kulazimishwa.
Siku moja baada ya kuahirishwa kwa mkutano wa Mwenyekiti wa Chama Cha Wananchi – CUF, Profesa IBRAHIM LIPUMBA na waandishi wa habari, Mwenyekiti huyo wa CUF amekutana na wanahabari jijini DSM na kuweka bayana msimamo wake wa kuheshimu maamuzi ya Prof.LIPUMBA
Huko ZANZIBAR, Kaimu Mkurugenzi wa Habari uenezi na mawasiliano ISMAIL JUSSA LADU amesema chama hicho kinaheshimu maamuzi ya Profesa LIPUMBA.
Hata hivyo JUSSA amesema hakuna mgogoro kati ya Viongozi wa chama hicho
Post a Comment