Tanzania ni nchi yenye utajiri mkubwa sana endapo watanzania tukiwezesha katika utumiaji mzuri wa maliasili tulizonazo basi Tanzania ya miaka hiyo itakua ni  Tanzania endelevu yenye kila aina ya endeleo.Kuna baadhi ya mambo ni madogo sana na vigumu kwa mtanzania ambaye haifuatilii nchi yake kuyajua ijapokuwa  vitu hivyo vinaumuhimu sana kwa nchi yetu hasa katika kuitambulisha nchi pamoja na kuingozea kipato cha uchumi nchi yetu. Yafahamu mambo sita yanayoonyesha utajiri wa Tanzania


1.Tanzania inaukubwa mara mbili ya Calfonia.

2.Tanzania kuna zaidi ya lugha 120 zinazoongelewa. kitu ambacho kinaonesha Tanzania inaongoza kwa kutembelewa na wageni hivyo tunajiingizia fedha za kigeni

3.Miti aina ya MPINGO maarufu sana Tanzania ni miti inayopatikana Tanzania tu pia miti hii inauzwa kwa bei ya juu sana duniani kote

4.Fuvu la kwanza la kichwa liligundulika Tanzania Olduvai George Arusha

5.Mlima kilimanjaro  ni mlima mrefu kuliko milima yote Africa mlima huo unapatikana Kilimanjaro

6.Tanzania, Zambabwe na South Africa nyimbo za taifa zote zinaitwa Mungu ibariki Afrika,( God bless Africa ) zilitungwa na Enock Santonga

Post a Comment