ACT Chama
Chama cha ACT-Wazalendo kiliingia kwenye Vichwa vya Habari kubwa za Siasa Tanzania kwa siku tatu mfululizo kutokana na ishu ya Mwakilishi wa Chama hicho kwenda Ofisi za Tume ya Uchaguzi NEC kuchukua Fomu kwa ajili ya Mgombea Urais Dk. Kitila Mkumbo, lakini Mgombea mwenyewe hakuwa tayari kugombea nafasi hiyo.

August 20 2015 ACT wamekaa Kikao Dar na kuyapitisha Majina mawili, Anna Elisha Mgwira kuwa Mgombea wao wa Urais kwenye Uchaguzi Mkuu wa Tanzania  October 2015 na Mussa Yusuph kuwa Mgombea Mwenza wake.

Post a Comment