CCM 1Mwenyekiti wa CCM Taifa ambaye ni President wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Jakaya Kikwete leo August 17 2015 alikiongoza kikao cha kamati kuu maalum kwenye ofisi za makao makuu ya chama, ofisi ndogo Lumumba.
CCM 2Picha zote hizi na maelezo yake ni kwa mujibu wa Issamichuzi.blogspot.com ambapo wengine waliohudhuria ni pamoja na katibu mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana na Dr. Ali Mohamed Shein.
CCM 3Kwenye picha nyingine wanaonekana Wajumbe wa kamati kuu.
CCM 4
CCM 5

Post a Comment