sttt
Unapozungumzia lebo ya CR7 humtambulisha rasmi mchezaji bora wa duniani Cristiano Ronaldo ambayo ndiyo humtambulisha..sasa kiungo mpya wa Manchester City naye kaamua kuingia kwenye biashara nakuanzisha lebo inayofanana na hiyo.
lin
Raheem Sterling sasa atatumia chata mpya ya RS7, ambayo inatarajia kuonyesha ushindani kwa CR7 ya Cristiano Ronaldo wa Real Madrid.
ettt
Swali ni kwamba Sterling ameamua kuingia kwenye ushindani na Ronaldo?
rrrrr

Post a Comment