Sherehe za birthday nazo zina uzito wake, Unaambiwa Romy Jons ambaye ni Ndugu yake na msanii Diamond Platnumz lakini pia ni Official Dj wake alifanya Party yake August 16 2015 wakaalikwa mastaa wengi kutoka Bongo Movie na Bongo Fleva, kiukweli ilipendeza sana.
Diamond Platnumz ambaye ni ndugu pia ni rafiki wa karibu na Romy kwa pamoja walikutana na marafiki zao na kusheherekea party hiyo….. na kwenye list ya mastaa waliotokea walikuwepo pia Barnaba, Vee Money, Queen Darleen, Pipi, Aunt Ezekiel, Jux, Kamikaze, TID, Madee, Shilole, na wengine.
Unaweza kucheki pichaz ambazo mtu wako wa nguvu nimekusogezea uzicheki na usipitwe pia.

Barnaba, Diamond na Romy Jones kwenye pozi la picha



Manager wa Diamond Babu Tale, Madee, na Dj K Man wakipiga story wakati wa party

DJ Zero na Madee story zikiendelea kwenye Party




Majina yao ni Naseeb Abdul aka Diamond Platnumz na Elizabeth Michael aka Lulu.

Barnaba na Pipi pamoja na watu wao wa nguvu pembeni.

Aunty Ezekiel na Moze Iyobo wake.




Happy day kwa watu wa nguvu, Madee, B Dozen wa XXL @CloudsFM, Cyrill Kamikaze, Jux na Shadee wa Clouds TV

Vee Money akienjoy.

Mchekeshaji Stan Bakora na Lulu wakiwa kwenye pozi lao poa kabisa.
Post a Comment