Usiku wa kuamkia tarehe August 19 2015 katikati ya Jiji la Nairobi Kenya, kuna kitu kipya kimegusa headlines za burudani East Africa… Sauti Sol ni wakali toka Kenya, Dunia inawajua hawa jamaa na Ali Kiba ni staa mkali wa muda mrefu kwenye Bongo Fleva ambaye pia amehahi kukaa kwenye ngoma moja na mastaa wakubwa Duniani ikiwemo R. Kelly na Fally Ipupa, yes anatuwakilisha vizuri sana huyu jamaa kupitia muziki wake mzuri.
Ali Kiba akiwasili studio na team yake tayari kuanza kurekodi na Sauti Sol
Sauti Sol na Ali Kiba wamekamilisha wimbo wao wa pamoja waliotangaza kuufanya wiki kadhaa zilizopita.
Ali Kiba na Sauti Sol kwenye story zao studio.



Kundi la Sauti Sol kwenye picha ya pamoja na Ali Kiba
Ali K anachora lines zake huku akisikilizia mdundo studio.
 

  

Post a Comment