Jose Mourinho ni miongoni mwa makocha wanaopenda wachezaji wenye asili ya Afrika August 19 habari za kumsajili beki wa kimataifa wa Ghana aliyekuwa anaichezea klabu ya FC Augsburg ya Ujerumani na kujiunga na klabu ya Chelsea kwa ada ya uhamisho ya pound milioni 21.7.
2B78503700000578-3202562-image-a-28_1439923425179
Beki huyo wa Ghana mwenye umri wa miaka 21 huenda atapangwa kucheza beki ya kushoto namba ambayo ilikuwa ikichezwa na beki wa kihispania Cesar Azpiliceuta ambaye baada ya ujio wa Baba Stamford Bridge Cesar Azpiliceuta ataenda kucheza upande wa  kulia.
Baba-Rahman-wanted-by-Chelsea
Klabu ya Chelsea ambayo imefanikiwa kumnasa Baba bado haijakata tamaa ya kusaka saini ya beki wa kiingereza anayeichezea klabu ya Everton John Stones licha ya ofa ya pound milioni 30 kukataliwa hivyo inajiandaa kutuma ofa nyingine ya pound milioni 4o ndani ya masaa 48.

Post a Comment