CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimetoa orodha ya majina 138 ya wanachama walioteuliwa na Kamati Kuu ya chama hicho kugombea ubunge wa majimbo ya uchaguzi.

Orodha ya majina hayo ya wanachama walioteuliwa kugombea ubunge katika majimbo hayo, imesainiwa na Naibu Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika kwa niaba ya Katibu Mkuu.
 
Taarifa imeeleza kuwa majimbo ambayo hayatakuwa kwenye orodha hiyo yatatolewa baada ya kukamilika kwa mashauriano ndani ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA).
 
Katika mgawanyo wa UKAWA wa majimbo 253 Kati ya 265 ya kuwania ubunge, Chadema imeongoza kwa kupata majimbo 138 (54%), ikifuatiwa na CUF majimbo 99 (29% yakiwemo 49 ya Zanzibar), NCCR-Mageuzi majimbo 14 (5.5%) na NLD majimbo matatu (1.2%).
 
Ifuatayo ni orodha kamili ya majina ya wanachama wa Chadema walioteuliwa kugombea ubunge katika majimbo hayo.
 
Mara                        
  1. Rorya   STEVEN J OWAWA
  2. Tarime Mjini ESTHER N MATIKO
  3. Tarime Vijijini JOHN HECHE
  4. Musoma Vijijini ZAKARIA MBULA CHIRAGWILE
  5. Butiama        YUSUPH R KAZI
  6. Bunda Mjini  ESTHER BULAYA
  7. Mwibara  HARUN D CHIRIKO
  8. Musoma Mjini       VINCENT J NYERERE
  9. Bunda Vijijini  SULEIMAN DAUDI
Simiyu                      
  1. Bariadi        GODWIN SIMBA
  2. Maswa Magharibi ABDALA PATEL
  3. Maswa Mashariki SYLVESTER KASULUMBAYI
  4. Kisesa MASANJA MANANI
  5. Meatu          MESHACK OPULUKWA
  6. Itilima         MARTINE MAGILE
Shinyanga                
  1. Msalala             PAULO MALAIKA
  2. Kahama Mjini JAMES LEMBELI
  3. Kahama Vijijini (Ushetu) SIMON BUKAKIYE ISAYA
  4. Shinyanga Mjini PATROAS PASCHAL K
  5. Kishapu         FRED T MPENDAZOE
Mwanza                   
  1. Ukerewe JOSEPH MKUNDI
  2. Magu          KALWINZI NGONGOSEKE
  3. Nyamagana    EZEKIA D. WENJE
  4. Buchosa MARTINE KASWAHILI
  5. Sengerema HAMIS TABASAMU
  6. Ilemela         HIGHNESS KIWIA
  7. Misungwi LEONIDAS KONDELA
Geita                        
  1. Bukombe PROF. KULIKOYELA KAHIGI
  2. Busanda ALPHONCE C MAWAZO
  3. Nyang’wale GEORGE MABULA
  4. Chato          DR. BENEDICT LUKANIMA
  5. Mbogwe NICODEMUS H MAGANGA
Kagera                     
  1. Karagwe          PRINCE RWAZO
  2. Kyerwa          BENEDICT MTUNGIREHI
  3. Bukoba Mjini  WILFRED LWAKATARE
  4. Muleba Kaskazini  ANSBERT NGURUMO
  5. Muleba Kusini  ALISTIDES KASHASILA
  6. Biharamulo  DR. ANTHONY MBASSA
Mbeya                     
  1. Lupa         NJELU KASAKA
  2. Songwe          MPOKI MWANKUSYE
  3. Mbeya Mjini JOSEPH MBILINYI
  4. Kyela          ABRAHAM H MWANYAMAKI
  5. Rungwe         JOHN D MWAMBIGIJA
  6. Busokelo BONIPHACE A MWAMUKUSI
  7. Mbozi       PASCHAL HAONGA
  8. Momba        DAVID E SILINDE
  9. Mbeya Vijijini ADAM NZELA
  10. Tunduma FRANK MWAKAJOKA
  11. Vwawa FANUEL MKISI
Iringa                       
  1. Ismani         PATRICK OLE SOSOPI
  2. Kalenga        MUSSA L MDEDE
  3. Mufindi Kaskazini JUMANNE K MASONDA
  4. Iringa Mjini PETER MSIGWA
  5. Kilolo          BRIAN KIKOTI
  6. Mafinga Mjini WILLE MUNGAI
Njombe                    
  1. Njombe Kusini EMMANUEL MASONGA
  2. Lupembe (Njombe Kask) EDWIN E SWALE
  3. Wanging’ombe DISMAS A LUHWAGO
  4. Makete          JACKSON T MOGELA
  5. Ludewa           ATHROMEO MKINGA
  6. Makambako ORAPH MHEMA
Rukwa                     
  1. Nkasi Kusini ALFRED DANIEL SOTOKA
  2. Kwela          DANIEL NAFTAL NGOGO
  3. Nkasi Kaskazini KESSY SOUD
  4. Sumbawanga Mjini SADRICK MALILA
  5. Kalambo        VICTOR MATENI
Tanga                       
  1. Kilindi         JERADI K MREMA
  2. Muheza ERNEST MSINGWA
  3. Korogwe          AMANI H KIMEA
  4. Korogwe Vijijini EMMANUEL KIMEA
Kilimanjaro                       
  1. Rombo                   JOSEPH SELASIN
  2. Same Magharibi CHRISTOPHER S MBAJO
  3. Same Mashariki NAGENJWA KABOYOKA
  4. Moshi Mjini JAFARY P MICHAEL
  5. Hai          FREEMAN A MBOWE
  6. Siha         DR. GODWIN MOLLEL
Arusha                     
  1. Arumeru Mashariki JOSHUA NASSARI
  2. Arumeru Magharibi GIBSON MESIYEKI
  3. Arusha Mjini GODBLESS LEMA
  4. Longido        ONESMO OLE NANGOLE
  5. Monduli        JULIUS KALANGA
  6. Karatu         WILLE QAMBALO
  7. Ngorongoro ELIAS NGORISA
Manyara                  
  1. Simanjiro JAMES KINYASI OLE MILLYA
  2. Mbulu Vijijini MIKEL PETRO AWEDA
  3. Hanang          MAGOMA RASHID DERICK
  4. Babati Mjini PAULINE P GEKUL
  5. Babati Vijijini LAURENT SURUMBU TARRA
  6. Kiteto        KIDAWA ATHUMANI IYAVU
  7. Mbulu Mjini PAULO HERMAN SULLE
Dar es Salaam                  
  1. Ubungo        SAED KUBENEA
  2. Kawe        HALIMA JAMES MDEE
  3. Ukonga          MWITA MWIKWABE WAITARA
  4. Ilala         MUSLIM HASSANALI HEIDERALI
  5. Kibamba JOHN JOHN MNYIKA
Pwani                       
  1. Chalinze MATHAYO TM. TORONGEY
  2. Kibaha Mjini MICHAEL PAUL MTALY
  3. Kibaha Vijijini EDITHA BABBEIYA
Morogoro                
  1. Mikumi         JOSEPH HAULE
  2. Morogoro Kusini DAVID LUKAGINGIRA
  3. Kilombero PETER E LIJUALIKALI
  4. Mlimba        SUZAN L. KIWANGA
  5. Mvomero OSWALD MLAY
  6. Ulanga Magharibi ALPHONCE MBASSA
  7. Ulanga Mashariki PANCRAS KONGOLI
  8. Morogoro Mjini MARCOSSY ALBANIE
Dodoma                   
  1. Kongwa             ESAU NGOMBEI
  2. Dodoma Mjini SINGO BENSON KIGAILA
  3. Bahi         MATHIAS LYAMUNDA
  4. Chilonwa JOHN CHOGONGO
Singida                     
  1. Iramba Magharibi JESCA KISHOA
  2. Iramba Mash(Mkalama) OSCAR KAPALALE
  3. Singida kaskazini DAVID DJUMBE
  4. Singida Mashariki TUNDU A LISSU
  5. Singida Magharibi MARCO ALLUTE
  6. Manyoni Magharibi LUPAA DONALD
  7. Manyoni Mashariki ALLUTE EMMANUEL
Tabora                     
  1. Nzega Mjini CHARLES MABULA
  2. Igunga        NG’WIGULU KUBE
  3. Urambo         SAMWELI NTAKAMLENGA
  4. Ulyankulu DEUS KITAPANDYA NGERERE
  5. Sikonge       SAID NKUMBA
  6. Manonga ALLY KHALFANI NGUZO
Katavi                      
  1. Mpanda Mjini JONAS KALINDE
  2. Mpanda Vijijini MUSSA MASANJA
  3. Katavi          GEORGE SAMBWE
  4. Nsimbo GERALD KITABU
  5. Kavuu         LAURENT SENGA MANGWESHI
Kigoma                    
  1. Kigoma Kaskazini DR. YARED FUBUSA
  2. Kigoma Mjini          DANIEL LUMENYELA
Ruvuma                   
  1. Peramiho         ELASMO MWINGIRA
  2. Mbinga Magharibi/Nyasa CUTHBERT S. NGWATA
  3. Mbinga/Mbinga Vijijini EDWIN B AKITANDA
  4. Songea Mjini        JOSEPH FUIME
  5. Madaba EDSON MBOGORO

Post a Comment