![](http://www.itv.co.tz/media/image/REGINA.jpg)
Wanawake
wa wilaya ya Kilombero mkoani Morogoro wamekumbushwa kuwa hatma ya
kero za kukosa huduma mbalimbali zikiwemo huduma za afya ya uzazi ipo
kwenye mikono yao ifikapo Octoba 25 kwa kuchagua viongozi waadilifu
watakaoweka maslahi mapana ya kero za wanawake mbele.
Mke wa mombea urais kupitia umoja wa vyama vinavyounda Ukawa mama
Regina Lowassa ameyasema hayo wakati akizungumza na wanawake wa wilaya
ya Kilombero mkoani Morogoro ambapo amesema wanawake wanahitaji
mabadiliko na hakuna sababu ya wanawake kuendele kubeba mizigo mizito ya
michango kwenye maswala ya afya na elimu.
Post a Comment