Japokuwa wawili hao waliowahi kuwa wapenzi kutengana na kila mtu
kuishi life lake, lakini soon tarajia sauti zao zikiwa ndani ya mkwaju
mmoja.
Producer aliyetengeneza ngoma hiyo mtu mzima Ninteen85 amevujisha ngoma hiyo ambayo tayari imeshakuwa gumzo.
Bado haijajulikana kama ngoma hiyo itakuwa kwenye albamu ya Bierber inayotarajiwa kutoka November 13 mwaka huu.
Kufuatia ishu ya collabo hiyo, tayari wadau wa mastaa hao wameshaanza
kuulizana je huenda Couple hiyo ikarudi tena kwenye maisha yao ya
mahusiano, na ii ni kutokana na wawili hao kila mmoja kwa wakati wake
kuweka wazi kwamba bado anamzimia mwenza wake.
Post a Comment