Tume  ya  Uchaguzi  Zanzibar  imeufuta uchaguzi  mkuu wa  Zanzibar  kutokana  na  kuwa  na  dosari  nyingi  ikiwemo uchaguzi  kutokuwa  huru  na  wahaki 

Mwenyekiti  wa  ZEC  ametoa  tangazo  hilo  kupitia shirika  la  utangazaji la  ZBC mchana  huu  kuwa  amechukua  maamuzi  hayo  baada  ya  kujiridhisha  kuwa  uchaguzi  uligubikwa  na  dosari  nyingi.

"Mimi nikiwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar, nimeridhika kuwa Uchaguzi huu umegubikwa na makosa makubwa....
 
"Kwa mamlaka niliyonayo natangaza rasmi kuufuta uchaguzi huu kwa kuwa haukuwa huru na wa haki, mtajuulishwa tarehe itakayofanyika uchaguzi mwengine hapo baadae, Ahsanteni kwa kunisikiliza"! - Jecha S. Jecha, Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC).

Post a Comment