Diamond
Platnumz ameibuka na ushindi mkubwa zaidi kwenye tuzo za Afrimma
zilizofanyika Dallas, Marekani alfajiri ya leo kwa saa za Afrika
Mashariki.
Diamond
Plutnumz ndiye msanii aliyekomba tuzo nyingi mwaka huu kwa kubeba 3
ambazo ni Video bora ya kucheza NANA, Msanii bora wa Afrika Mashariki na
msanii wa mwaka.
Vanessa Mdee amechukua tuzo ya msanii bora wa kike Africa Mashariki.
Ommy Dimpoz ameondoka na tuzo ya msanii bora anayechipukia.
Post a Comment