Kazi  yetu  ni  kupekua  na  kukujulisha  kinachoendelea  hapa  Tanzania  hasa  wakati  huu  wa  kampeni  za  uchaguzi.

Leo  mheshimiwa  Lowassa  alikosea  kidogo  na kujikuta  akiwanadi  wagombea  ubunge  na  udiwani  wa  CCM. 

"Nawaomba  jumapili  mnipe  kura  kwa  wingi, ila  msisahau  kuwachagua madiwani  na  wabunge  wa  CCM  ili  tuiondoe  CCM  madarakani"...Lowassa

Aliyasema  hayo  akiwa  katika  viwanja  vya   Shule ya Jangwani - Ifakara  mkoani  Morogoro.

Post a Comment