Ukosefu wa mazoezi kwa wale walio na umri wa kadri huzeesha akili na mwili ,utafiti umesema.
Ukosefu
wa mazoezi kwa watu walio na umri wa miaka 40 uhusishwa na ubongo wenye
ukubwa wa 60,kulingana na utafiti nchini Marekani.Zoezi miongoni mwa watu wenye umri wa kadri ni muhimu hususan kwa watu wenye ishara za mapema za ugonjwa wa moyo,wamesema watafiti katika chuo kikuu cha Boston.
Utafiti huo uliochapishwa katika jarida la matibabu katika chuo cha navu nchini Marekani,uliwahoji watu 1,583 walio na miaka 40.
Walioshiriki ambao hawakuwa na tatizo la akili ama hata ugonjwa wa moyo ,walijipima katika mashine ya kukimbia ,na kufanya hivyo tena baada ya miongo miwili pamoja na ukaguzi wa Ubongo.
Post a Comment