Serikali imeipa siku thelathini Menejimenti ya  Mfuko wa Maendeleo ya Jamii nchini TASAF kuwatafuta na kuwafikisha katika vyombo vya sheria watu waliohusika na kuzitumia kinyume na taratibu fedha zilizopangwa kwa ajili ya miradi ya TASAF.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Utumishi na  Utawala Bora anjela kairuki ametoa agizo hilo mara baada ya kukutana na wafanyakazi wa mfuko huo na kusema kuwa kamwe Serikali haiwezi kuvumilia fedha zikitumika vibaya ambao pia ametaka miradi ya tasaf kutoa ajira zaidi nchini...angela ka
 
Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Tasaf Ladislaus Mwamanga amesema uwepo tasaf kwa kiasi kikubwa umesaidia kuzifikia kaya maskini nchini na kuzipunguzia makali ya umaskini ambayo walikuwa nayo.

Post a Comment